Methali 15:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mtu hushangilia anapotoa jibu linalofaa,*+Na neno linalosemwa wakati unaofaa—ni jema sana!+ Isaya 50:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,*+Ili nijue jinsi ya kumjibu* aliyechoka kwa neno linalofaa.*+ Yeye huniamsha asubuhi baada ya asubuhi;Huliamsha sikio langu ili lisikilize kama wale waliofundishwa.+
4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,*+Ili nijue jinsi ya kumjibu* aliyechoka kwa neno linalofaa.*+ Yeye huniamsha asubuhi baada ya asubuhi;Huliamsha sikio langu ili lisikilize kama wale waliofundishwa.+