1 Samweli 25:32, 33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ndipo Daudi akamwambia Abigaili: “Msifu Yehova Mungu wa Israeli, aliyekutuma leo ukutane nami! 33 Busara yako na ibarikiwe! Na ubarikiwe kwa kunizuia leo nisiwe na hatia ya damu+ na nisilipize kisasi* kwa mikono yangu mwenyewe. Methali 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kama matofaa ya dhahabu yaliyonakshiwa kwenye vyombo vya fedhaNdivyo lilivyo neno linalosemwa wakati unaofaa.+
32 Ndipo Daudi akamwambia Abigaili: “Msifu Yehova Mungu wa Israeli, aliyekutuma leo ukutane nami! 33 Busara yako na ibarikiwe! Na ubarikiwe kwa kunizuia leo nisiwe na hatia ya damu+ na nisilipize kisasi* kwa mikono yangu mwenyewe.
11 Kama matofaa ya dhahabu yaliyonakshiwa kwenye vyombo vya fedhaNdivyo lilivyo neno linalosemwa wakati unaofaa.+