Ayubu 16:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Nimeshasikia mambo mengi kama hayo. Ninyi nyote ni wafariji wasumbufu!+ 3 Je, maneno yasiyo na maana* yana mwisho? Ni nini kinachowachochea kujibu hivi? Ayubu 21:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Basi kwa nini mnipe faraja isiyo na maana?+ Majibu yenu hayana lolote isipokuwa udanganyifu!”
2 “Nimeshasikia mambo mengi kama hayo. Ninyi nyote ni wafariji wasumbufu!+ 3 Je, maneno yasiyo na maana* yana mwisho? Ni nini kinachowachochea kujibu hivi?