Ayubu 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa nini husamehi dhambi yanguNa kuachilia kosa langu? Kwa maana hivi punde nitalala mavumbini,+Nawe utanitafuta, lakini nitakuwa nimeenda zangu.” Yakobo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ingawa hamjui jinsi maisha yenu yatakavyokuwa kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+
21 Kwa nini husamehi dhambi yanguNa kuachilia kosa langu? Kwa maana hivi punde nitalala mavumbini,+Nawe utanitafuta, lakini nitakuwa nimeenda zangu.”
14 ingawa hamjui jinsi maisha yenu yatakavyokuwa kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+