Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 39:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa hakika kila mwanadamu hutembea huku na huku kama kivuli.

      Hukimbia huku na huku* bila sababu.

      Hurundika mali, bila kujua ni nani atakayeifurahia.+

  • Methali 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Usijigambe kuhusu kesho,

      Kwa maana hujui siku italeta nini.*+

  • Mhubiri 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ni nani anayejua ni jambo gani lililo bora kwa mwanadamu kufanya maishani katika siku chache za maisha yake ya ubatili, anazotumia kama kivuli?+ Kwa maana ni nani anayeweza kumwambia mwanadamu yatakayotukia chini ya jua baada ya kifo chake?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki