1 Samweli 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hana alikuwa na uchungu mwingi sana,* akaanza kusali kwa Yehova+ na kulia sana. Ayubu 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Nayachukia sana* maisha yangu.+ Nitamwaga malalamiko yangu. Nitasema waziwazi katika mateso yangu makali!* Methali 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Moyo hujua uchungu wake wenyewe,*Na hakuna mgeni yeyote anayeweza kushiriki shangwe yake.
10 “Nayachukia sana* maisha yangu.+ Nitamwaga malalamiko yangu. Nitasema waziwazi katika mateso yangu makali!*