Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kisha Musa akamwambia Yehova: “Kwa nini unanitesa mimi mtumishi wako? Kwa nini hupendezwi nami, hivi kwamba umenitwika mzigo wa watu wote hawa?+

  • Hesabu 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ikiwa utaendelea kunitendea hivi, tafadhali niue sasa hivi.+ Ikiwa nimepata kibali machoni pako, usiache niendelee kutaabika.”

  • 1 Wafalme 19:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi Eliya akaogopa, akaondoka na kukimbia ili kuokoa uhai wake.*+ Akafika Beer-sheba,+ jiji la Yuda,+ akamwacha mtumishi wake huko. 4 Akaingia nyikani safari ya siku moja, akafika na kuketi chini ya mti wa mretemu, naye akaomba afe. Akasema: “Imetosha! Sasa, Ee Yehova, niue,*+ kwa sababu mimi si bora kuliko mababu zangu.”

  • Ayubu 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ninachukia maisha yangu;+ sitaki kuendelea kuishi.

      Niache, kwa maana siku zangu ni kama pumzi.+

  • Yona 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Sasa, Ee Yehova, nakusihi uniue, kwa maana afadhali nife badala ya kuishi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki