Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 62:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Wanadamu ni pumzi tu,

      Wana wa binadamu ni njozi ya uwongo.+

      Wanapowekwa pamoja kwenye mizani, ni wepesi kuliko pumzi.+

  • Zaburi 144:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mwanadamu ni kama pumzi tu;+

      Siku zake ni kama kivuli kinachopita.+

  • Mhubiri 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ni nani anayejua ni jambo gani lililo bora kwa mwanadamu kufanya maishani katika siku chache za maisha yake ya ubatili, anazotumia kama kivuli?+ Kwa maana ni nani anayeweza kumwambia mwanadamu yatakayotukia chini ya jua baada ya kifo chake?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki