15 Kisha Farao akasikia habari hizo, naye akajaribu kumuua Musa; lakini Musa akamkimbia Farao na kwenda kuishi katika nchi ya Midiani;+ alipofika huko akaketi kando ya kisima.
27Hata hivyo, Daudi akasema moyoni mwake: “Siku moja mkono wa Sauli utaniua. Jambo bora la kufanya ni kukimbilia+ nchi ya Wafilisti; halafu Sauli atakata tamaa ya kunitafuta katika eneo lote la Israeli,+ nami nitaponyoka kutoka mkononi mwake.”