Nehemia 9:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Umekuwa mwadilifu katika mambo yote yaliyotupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu; lakini ni sisi tuliotenda uovu.+ Zaburi 35:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha ulimi wangu utasimulia* uadilifu wako+Na kukusifu mchana kutwa.+ Zaburi 59:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini mimi, nitaimba kuhusu nguvu zako;+Asubuhi nitatangaza kwa shangwe kuhusu upendo wako mshikamanifu. Kwa maana wewe ni kimbilio langu salama+Na mahali pangu pa kukimbilia wakati wa taabu.+ Danieli 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ee Yehova, uadilifu ni wako, lakini aibu ni yetu kama ilivyo leo, sisi watu wa Yuda, wakaaji wa Yerusalemu, na Waisraeli wote, wale walio karibu na walio mbali, katika nchi zote ambazo uliwatawanya kwa sababu hawakutenda kwa uaminifu kukuelekea.+
33 Umekuwa mwadilifu katika mambo yote yaliyotupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu; lakini ni sisi tuliotenda uovu.+
16 Lakini mimi, nitaimba kuhusu nguvu zako;+Asubuhi nitatangaza kwa shangwe kuhusu upendo wako mshikamanifu. Kwa maana wewe ni kimbilio langu salama+Na mahali pangu pa kukimbilia wakati wa taabu.+
7 Ee Yehova, uadilifu ni wako, lakini aibu ni yetu kama ilivyo leo, sisi watu wa Yuda, wakaaji wa Yerusalemu, na Waisraeli wote, wale walio karibu na walio mbali, katika nchi zote ambazo uliwatawanya kwa sababu hawakutenda kwa uaminifu kukuelekea.+