Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 9:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Umekuwa mwadilifu katika mambo yote yaliyotupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu; lakini ni sisi tuliotenda uovu.+

  • Zaburi 35:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha ulimi wangu utasimulia* uadilifu wako+

      Na kukusifu mchana kutwa.+

  • Zaburi 59:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini mimi, nitaimba kuhusu nguvu zako;+

      Asubuhi nitatangaza kwa shangwe kuhusu upendo wako mshikamanifu.

      Kwa maana wewe ni kimbilio langu salama+

      Na mahali pangu pa kukimbilia wakati wa taabu.+

  • Danieli 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ee Yehova, uadilifu ni wako, lakini aibu ni yetu kama ilivyo leo, sisi watu wa Yuda, wakaaji wa Yerusalemu, na Waisraeli wote, wale walio karibu na walio mbali, katika nchi zote ambazo uliwatawanya kwa sababu hawakutenda kwa uaminifu kukuelekea.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki