10 Kazi zako zote zitakutukuza, Ee Yehova,+
Na washikamanifu wako watakusifu.+
כ [Kaph]
11 Watatangaza utukufu wa ufalme wako+
Na kusema kuhusu nguvu zako,+
ל [Lamed]
12 Ili kuwajulisha wanadamu matendo yako yenye nguvu+
Na fahari yenye utukufu ya ufalme wako.+