Zaburi 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Yehova ni mwadilifu;+ yeye hupenda matendo ya uadilifu.+ Wanyoofu watauona uso wake.*+ Zaburi 71:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Uadilifu wako, Ee Mungu, unafika vileleni;+Umetenda mambo makuu;Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?+
19 Uadilifu wako, Ee Mungu, unafika vileleni;+Umetenda mambo makuu;Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?+