Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+

      Ni nani aliye kama wewe, unayejidhihirisha mwenyewe kuwa mkuu katika utakatifu?+

      Wewe unayestahili kuogopwa kwa nyimbo za sifa, Wewe unayetenda mambo yanayostaajabisha.+

  • Zaburi 86:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Hakuna yeyote aliye kama wewe kati ya miungu, Ee Yehova,+

      Hakuna kazi zilizo kama kazi zako.+

  • Zaburi 89:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana ni nani mbinguni anayeweza kulinganishwa na Yehova?+

      Ni nani miongoni mwa wana wa Mungu+ aliye kama Yehova?

  • Yeremia 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ni nani asiyepaswa kukuogopa, Ee Mfalme wa mataifa,+ kwa maana ni jambo linalofaa;

      Kwa sababu kati ya watu wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote,

      Hakuna yeyote yule aliye kama wewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki