Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+ Ni nani aliye kama wewe, unayejidhihirisha mwenyewe kuwa mkuu katika utakatifu?+ Wewe unayestahili kuogopwa kwa nyimbo za sifa, Wewe unayetenda mambo yanayostaajabisha.+ Zaburi 86:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakuna yeyote aliye kama wewe kati ya miungu, Ee Yehova,+Hakuna kazi zilizo kama kazi zako.+ Zaburi 89:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ni nani mbinguni anayeweza kulinganishwa na Yehova?+ Ni nani miongoni mwa wana wa Mungu+ aliye kama Yehova? Yeremia 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ni nani asiyepaswa kukuogopa, Ee Mfalme wa mataifa,+ kwa maana ni jambo linalofaa;Kwa sababu kati ya watu wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote,Hakuna yeyote yule aliye kama wewe.+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+ Ni nani aliye kama wewe, unayejidhihirisha mwenyewe kuwa mkuu katika utakatifu?+ Wewe unayestahili kuogopwa kwa nyimbo za sifa, Wewe unayetenda mambo yanayostaajabisha.+
6 Kwa maana ni nani mbinguni anayeweza kulinganishwa na Yehova?+ Ni nani miongoni mwa wana wa Mungu+ aliye kama Yehova?
7 Ni nani asiyepaswa kukuogopa, Ee Mfalme wa mataifa,+ kwa maana ni jambo linalofaa;Kwa sababu kati ya watu wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote,Hakuna yeyote yule aliye kama wewe.+