Ayubu 36:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yeye haondoi macho yake kwa waadilifu;+Huwaketisha kwenye viti vya ufalme pamoja na wafalme,*+ nao wanakwezwa milele. Zaburi 34:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho ya Yehova yanawatazama waadilifu,+Na masikio yake yanasikiliza kilio chao cha kuomba msaada.+ 1 Petro 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana macho ya Yehova* yanawatazama waadilifu, na masikio yake yanasikiliza dua yao,+ lakini uso wa Yehova* uko dhidi ya wale wanaotenda maovu.”+
7 Yeye haondoi macho yake kwa waadilifu;+Huwaketisha kwenye viti vya ufalme pamoja na wafalme,*+ nao wanakwezwa milele.
15 Macho ya Yehova yanawatazama waadilifu,+Na masikio yake yanasikiliza kilio chao cha kuomba msaada.+
12 Kwa maana macho ya Yehova* yanawatazama waadilifu, na masikio yake yanasikiliza dua yao,+ lakini uso wa Yehova* uko dhidi ya wale wanaotenda maovu.”+