Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 36:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yeye haondoi macho yake kwa waadilifu;+

      Huwaketisha kwenye viti vya ufalme pamoja na wafalme,*+ nao wanakwezwa milele.

  • Zaburi 34:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Macho ya Yehova yanawatazama waadilifu,+

      Na masikio yake yanasikiliza kilio chao cha kuomba msaada.+

  • 1 Petro 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana macho ya Yehova* yanawatazama waadilifu, na masikio yake yanasikiliza dua yao,+ lakini uso wa Yehova* uko dhidi ya wale wanaotenda maovu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki