Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:12-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ni nani miongoni mwenu anayependa uzima

      Na angependa kuishi siku nyingi njema?+

      נ [Nun]

      13 Basi ulinde ulimi wako usiseme mabaya,+

      Midomo yako isiseme uwongo.+

      ס [Samekh]

      14 Acha uovu, utende mema;+

      Tafuta amani na uifuatie.+

      ע [Ayin]

      15 Macho ya Yehova yanawatazama waadilifu,+

      Na masikio yake yanasikiliza kilio chao cha kuomba msaada.+

      פ [Pe]

      16 Lakini uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda maovu,

      Ili afutilie mbali kumbukumbu lao lote kutoka duniani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki