Yakobo 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ikiwa mtu yeyote anafikiri yeye ni mwabudu wa Mungu* lakini haudhibiti* kabisa ulimi wake,+ anaudanganya moyo wake, na ibada yake ni ubatili. Yakobo 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini hakuna mwanadamu anayeweza kuufuga ulimi. Ulimi ni kitu kitundu chenye kudhuru, kilichojaa sumu yenye kuua.+
26 Ikiwa mtu yeyote anafikiri yeye ni mwabudu wa Mungu* lakini haudhibiti* kabisa ulimi wake,+ anaudanganya moyo wake, na ibada yake ni ubatili.
8 Lakini hakuna mwanadamu anayeweza kuufuga ulimi. Ulimi ni kitu kitundu chenye kudhuru, kilichojaa sumu yenye kuua.+