Zaburi 140:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wanaunoa ulimi wao kama wa nyoka;+Sumu ya nyoka vipiri iko nyuma ya midomo yao.+ (Sela) Methali 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Maneno yanayosemwa bila kufikiri huchoma kama upanga,Lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+ Methali 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kinywa cha mpumbavu ndicho kinachomwangamiza,+Na midomo yake ni mtego kwa uhai wake.*