Methali 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Midomo inayosema ukweli itadumu milele,+Lakini ulimi unaosema uwongo utadumu kwa muda mfupi tu.+ Methali 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ulimi mtulivu* ni mti wa uzima,+Lakini maneno yaliyopotoka hukatisha tamaa.* 1 Petro 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi, acheni ubaya wote+ na udanganyifu na unafiki na wivu na masengenyo.