Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+ Mungu wa uaminifu+ ambaye kamwe hana ukosefu wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+ Zaburi 33:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Anapenda uadilifu na haki.+ Dunia imejaa upendo mshikamanifu wa Yehova.+ Zaburi 37:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataangamizwa.+
4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+ Mungu wa uaminifu+ ambaye kamwe hana ukosefu wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+
28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataangamizwa.+