Ayubu 37:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Hatuwezi kumwelewa Mweza-Yote;+Ana nguvu nyingi,+Na hapotoshi kamwe haki+ na uadilifu wake mwingi.+ Zaburi 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Yehova ni mwadilifu;+ yeye hupenda matendo ya uadilifu.+ Wanyoofu watauona uso wake.*+ Zaburi 45:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ulipenda uadilifu+ na kuchukia uovu.+ Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia+ kuliko wenzako.
23 Hatuwezi kumwelewa Mweza-Yote;+Ana nguvu nyingi,+Na hapotoshi kamwe haki+ na uadilifu wake mwingi.+
7 Ulipenda uadilifu+ na kuchukia uovu.+ Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia+ kuliko wenzako.