Zaburi 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sikia sihi zangu ninapokulilia unisaidieNinapoinua mikono yangu kuelekea chumba cha ndani zaidi cha mahali pako patakatifu.+ Zaburi 143:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nijibu haraka, Ee Yehova;+Nguvu zangu zimefikia* mwisho.+ Usinifiche uso wako,+La sivyo nitakuwa kama wale wanaoshuka shimoni.*+
2 Sikia sihi zangu ninapokulilia unisaidieNinapoinua mikono yangu kuelekea chumba cha ndani zaidi cha mahali pako patakatifu.+
7 Nijibu haraka, Ee Yehova;+Nguvu zangu zimefikia* mwisho.+ Usinifiche uso wako,+La sivyo nitakuwa kama wale wanaoshuka shimoni.*+