Zaburi 42:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mungu wangu, nimesononeka.+ Ndiyo sababu ninakukumbuka,+Kutoka katika nchi ya Yordani na vilele vya Hermoni,Kutoka Mlima Mizari.*
6 Mungu wangu, nimesononeka.+ Ndiyo sababu ninakukumbuka,+Kutoka katika nchi ya Yordani na vilele vya Hermoni,Kutoka Mlima Mizari.*