Zaburi 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+ Kwa nini uko mbali usiweze kuniokoa,Mbali na vilio vyangu vya maumivu makali?+ Yohana 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Sasa ninataabika,*+ nami niseme nini? Baba, niokoe kutoka katika saa hii.+ Hata hivyo, ndiyo sababu nimekuja kwenye saa hii.
22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+ Kwa nini uko mbali usiweze kuniokoa,Mbali na vilio vyangu vya maumivu makali?+
27 Sasa ninataabika,*+ nami niseme nini? Baba, niokoe kutoka katika saa hii.+ Hata hivyo, ndiyo sababu nimekuja kwenye saa hii.