Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 24:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tazama baba yangu, angalia nimeshika upindo wa joho lako lisilo na mikono; kwa sababu nilipokata upindo wa joho lako lisilo na mikono, sikukuua. Sasa unaweza kuona na kuelewa kwamba sikusudii kukudhuru wala kukuasi, nami sijakutendea dhambi,+ lakini wewe unaniwinda ili kuniua.*+

  • 1 Samweli 26:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Halafu akaendelea kusema: “Bwana wangu kwa nini unanifuatia mimi mtumishi wako,+ nimefanya nini, nami nina hatia ya kosa gani?+

  • Zaburi 69:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wale wanaonichukia bila sababu+

      Ni wengi sana kuliko nywele za kichwa changu.

      Wale wanaotaka kuniangamiza,

      Maadui wangu wenye hila,* wamekuwa wengi.

      Nililazimishwa kurudisha kitu ambacho sikuiba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki