Kutoka 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha Yehova akasema: “Hakika nimeyaona mateso ya watu wangu walio Misri, nami nimesikia kilio chao kwa sababu ya wale wanaowalazimisha kufanya kazi; ninajua vema maumivu yao.+ Zaburi 72:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Atamhurumia mtu wa hali ya chini na maskini,Naye ataokoa uhai wa* maskini. 14 Atawaokoa* kutoka katika ukandamizaji na ukatili,Na damu yao itakuwa na thamani machoni pake. Luka 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hakika, je, Mungu hatawatendea haki watu wake waliochaguliwa ambao wanamlilia mchana na usiku,+ huku akiwaonyesha subira?+
7 Kisha Yehova akasema: “Hakika nimeyaona mateso ya watu wangu walio Misri, nami nimesikia kilio chao kwa sababu ya wale wanaowalazimisha kufanya kazi; ninajua vema maumivu yao.+
13 Atamhurumia mtu wa hali ya chini na maskini,Naye ataokoa uhai wa* maskini. 14 Atawaokoa* kutoka katika ukandamizaji na ukatili,Na damu yao itakuwa na thamani machoni pake.
7 Kwa hakika, je, Mungu hatawatendea haki watu wake waliochaguliwa ambao wanamlilia mchana na usiku,+ huku akiwaonyesha subira?+