Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 13:27, 28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 na bondeni,* Beth-haramu, Beth-nimra,+ Sukothi,+ na Safoni, eneo lililobaki la Mfalme Sihoni wa Heshboni,+ na Mto Yordani ulikuwa mpaka ulioanzia upande wa chini wa Bahari ya Kinerethi,*+ upande wa mashariki wa Yordani. 28 Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la Gadi kulingana na koo zao, pamoja na miji na vijiji vyake.

  • Zaburi 108:7-9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Mungu ameongea katika utakatifu wake:*

      “Nitashangilia, nitawagawia Shekemu+ kuwa urithi,

      Nami nitawapimia Bonde la* Sukothi.+

       8 Gileadi+ ni yangu, na Manase ni yangu,

      Na Efraimu ni kofia ya kukinga* kichwa changu;+

      Yuda ni fimbo yangu ya kiongozi.+

       9 Moabu ni beseni langu la kuogea.+

      Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+

      Nitapaza sauti kwa ushindi juu ya Ufilisti.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki