Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 33:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye Yakobo akaenda Sukothi,+ naye akajijengea nyumba na mabanda ya mifugo yake. Ndiyo sababu alipaita mahali hapo Sukothi.*

  • Zaburi 60:6-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mungu ameongea katika utakatifu wake:*

      “Nitashangilia, nitawagawia Shekemu kuwa urithi,+

      Nami nitawapimia Bonde la* Sukothi.+

       7 Gileadi ni yangu, na Manase ni yangu,+

      Na Efraimu ni kofia ya kukinga* kichwa changu;

      Yuda ni fimbo yangu ya kiongozi.+

       8 Moabu ni beseni langu la kuogea.+

      Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+

      Nitapaza sauti kwa ushindi juu ya Ufilisti.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki