6 Mungu ameongea katika utakatifu wake:
“Nitashangilia, nitawagawia Shekemu kuwa urithi,+
Nami nitawapimia Bonde la Sukothi.+
7 Gileadi ni yangu, na Manase ni yangu,+
Na Efraimu ni kofia ya kukinga kichwa changu;
Yuda ni fimbo yangu ya kiongozi.+
8 Moabu ni beseni langu la kuogea.+
Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+
Nitapaza sauti kwa ushindi juu ya Ufilisti.”+