-
Yoshua 13:29-31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 Pia, Musa akawapa urithi nusu ya watu wa kabila la Manase, ukawa urithi wao kulingana na koo zao.+ 30 Na eneo lao lilianzia Mahanaimu+ na eneo lote la Bashani, eneo lote la Mfalme Ogu wa Bashani, na vijiji vyote vya mahema vya Yairi+ kule Bashani, miji 60. 31 Na nusu ya eneo la Gileadi, na Ashtarothi na Edrei,+ majiji ya ufalme wa Ogu kule Bashani, yalichukuliwa na wana wa Makiri+ mwana wa Manase, yaani, nusu ya wana wa Makiri kulingana na koo zao.
-