6 Abramu akasafiri nchini mpaka eneo la Shekemu,+ karibu na miti mikubwa ya More.+ Wakati huo Wakanaani walikuwa katika nchi hiyo. 7 Kisha Yehova akamtokea Abramu na kumwambia: “Nitaupa uzao wako+ nchi hii.”+ Basi akamjengea Yehova madhabahu huko, aliyekuwa amemtokea.