-
Yeremia 17:19, 20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Yehova aliniambia hivi: “Nenda usimame katika lango la wana wa watu ambalo wafalme wa Yuda huingilia na kutokea, na katika malango yote ya Yerusalemu.+ 20 Nawe unapaswa kuwaambia hivi: ‘Sikieni neno la Yehova, ninyi wafalme wa Yuda, watu wote wa Yuda, na wakaaji wote wa Yerusalemu, mnaoingia kupitia malango haya.
-