Yeremia 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yehova ameniambia hivi: “Nenda, nawe usimame katika lango la wana wa watu ambalo wafalme wa Yuda huingilia na ambalo hutokea, na katika malango yote ya Yerusalemu.+
19 Yehova ameniambia hivi: “Nenda, nawe usimame katika lango la wana wa watu ambalo wafalme wa Yuda huingilia na ambalo hutokea, na katika malango yote ya Yerusalemu.+