3 Naye akaendelea kusoma+ ndani ya kile kitabu kwa sauti mbele ya kiwanja cha watu wote kilichoko mbele ya Lango la Maji, kuanzia mapambazuko+ mpaka katikati ya mchana, mbele ya wanaume na wanawake na mbele ya wale wengine wenye akili; na watu wote wakasikiliza+ kwa makini+ kitabu cha sheria.
2 “Simama katika lango la nyumba ya Yehova, nawe utangaze hapo neno hili,+ na kusema, ‘Sikieni neno la Yehova, ninyi nyote wa Yuda, mnaoingia katika malango haya ili kumwinamia Yehova.