Zaburi 18:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Yeye hutenda matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake;*+Humtendea mtiwa-mafuta wake kwa upendo mshikamanifu,+Kwa Daudi na kwa uzao wake* milele.+ Zaburi 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ee Yehova, mfalme hushangilia kwa sababu ya nguvu zako;+Jinsi anavyoshangilia sana kwa sababu ya matendo yako ya wokovu!+ Zaburi 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Alikuomba uhai, nawe ukampa,+Maisha marefu,* milele na milele.
50 Yeye hutenda matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake;*+Humtendea mtiwa-mafuta wake kwa upendo mshikamanifu,+Kwa Daudi na kwa uzao wake* milele.+
21 Ee Yehova, mfalme hushangilia kwa sababu ya nguvu zako;+Jinsi anavyoshangilia sana kwa sababu ya matendo yako ya wokovu!+