Zaburi 37:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wokovu wa watu waadilifu unatoka kwa Yehova;+Yeye ndiye ngome yao wakati wa taabu.+ Zaburi 68:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na asifiwe Yehova, anayetubebea mzigo wetu kila siku,+Mungu wa kweli wa wokovu wetu. (Sela) Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+