Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yehova huongoza* hatua za mtu+

      Njia ya mtu huyo inapompendeza Yeye.+

      24 Hata akianguka, hataangushwa chini kabisa,+

      Kwa maana Yehova anaushika mkono wake na kumtegemeza.*+

  • 2 Wakorintho 4:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Tunakandamizwa katika kila njia, lakini hatubanwi kupita kiasi cha kushindwa kusonga; tunafadhaishwa, lakini si bila njia ya kutokea kabisa;*+ 9 tunateswa, lakini hatuachwi bila msaada;+ tunaangushwa chini, lakini hatuangamizwi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki