Zaburi 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ninamweka Yehova mbele yangu daima.+ Kwa sababu yuko mkono wangu wa kulia, sitatikiswa kamwe.*+ Methali 10:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mwadilifu hataangushwa kamwe,+Lakini waovu hawataendelea kukaa duniani.+