1 Samweli 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Hana akamwambia, “Sivyo, bwana wangu! Mimi ni mwanamke mwenye mkazo mkubwa sana;* sijanywa divai wala kinywaji chochote chenye kileo, bali ninaimwaga nafsi* yangu mbele za Yehova.+
15 Ndipo Hana akamwambia, “Sivyo, bwana wangu! Mimi ni mwanamke mwenye mkazo mkubwa sana;* sijanywa divai wala kinywaji chochote chenye kileo, bali ninaimwaga nafsi* yangu mbele za Yehova.+