Zaburi 42:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mungu wangu, nimesononeka.+ Ndiyo sababu ninakukumbuka,+Kutoka katika nchi ya Yordani na vilele vya Hermoni,Kutoka Mlima Mizari.* Zaburi 62:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mtumainini nyakati zote, enyi watu. Mwageni mioyo yenu mbele zake.+ Mungu ni kimbilio letu.+ (Sela) Zaburi 142:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ninamwaga mahangaiko yangu mbele zake;Mbele zake ninaeleza taabu yangu+
6 Mungu wangu, nimesononeka.+ Ndiyo sababu ninakukumbuka,+Kutoka katika nchi ya Yordani na vilele vya Hermoni,Kutoka Mlima Mizari.*
8 Mtumainini nyakati zote, enyi watu. Mwageni mioyo yenu mbele zake.+ Mungu ni kimbilio letu.+ (Sela)