Methali 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwovu hunaswa na mazungumzo yake ya dhambi,+Lakini mwadilifu huokoka kutoka katika taabu. Methali 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kinywa cha mpumbavu ndicho kinachomwangamiza,+Na midomo yake ni mtego kwa uhai wake.*