Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 2:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa hiyo Mfalme Sulemani akaapa hivi kwa jina la Yehova: “Mungu na aniadhibu, tena vikali, ikiwa Adoniya hakuomba jambo hilo akijua kwamba anahatarisha uhai wake.* 24 Na sasa, kwa hakika kama Yehova anavyoishi, ambaye ameniimarisha kabisa+ na kuniketisha kwenye kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu na kunijengea nyumba* kama alivyoahidi,+ Adoniya atauawa+ leo.”

  • Zaburi 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Utawaangamiza wale wanaosema uwongo.+

      Yehova anawachukia kabisa watu wakatili na wadanganyifu.*+

  • Mhubiri 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Usiruhusu kinywa chako kikufanye* utende dhambi,+ wala usiseme mbele ya malaika* kwamba nilikosea.+ Kwa nini umkasirishe Mungu wa kweli kwa yale unayosema hivi kwamba alazimike kuiharibu kazi ya mikono yako?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki