-
1 Wafalme 2:23, 24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
23 Kwa hiyo Mfalme Sulemani akaapa hivi kwa jina la Yehova: “Mungu na aniadhibu, tena vikali, ikiwa Adoniya hakuomba jambo hilo akijua kwamba anahatarisha uhai wake.* 24 Na sasa, kwa hakika kama Yehova anavyoishi, ambaye ameniimarisha kabisa+ na kuniketisha kwenye kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu na kunijengea nyumba* kama alivyoahidi,+ Adoniya atauawa+ leo.”
-