Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nioshe kabisa kutoka katika kosa langu,+

      Na unisafishe kutoka katika dhambi yangu.+

  • Isaya 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Sasa, njooni, na tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+

      “Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu,

      Zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+

      Ingawa ni nyekundu kama kitambaa chekundu,

      Zitakuwa kama sufu.

  • 1 Yohana 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru, tuna ushirika sisi kwa sisi, na damu ya Yesu Mwana wake hutusafisha kutoka katika dhambi yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki