Zaburi 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini utasikia ombi la wapole, Ee Yehova.+ Utaiimarisha mioyo yao+ na kuwasikiliza kwa makini.+ Mathayo 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Wenye furaha ni wale walio wapole,+ kwa kuwa watairithi dunia.+