1 Samweli 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hulinda hatua za washikamanifu wake;+Lakini waovu watanyamazishwa gizani,+Kwa maana mwanadamu hashindi kwa nguvu.+ Zaburi 121:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hataruhusu kamwe mguu wako uteleze.*+ Yeye anayekulinda hatasinzia kamwe.
9 Hulinda hatua za washikamanifu wake;+Lakini waovu watanyamazishwa gizani,+Kwa maana mwanadamu hashindi kwa nguvu.+