Zaburi 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ee Yehova, utanisahau mpaka lini? Milele? Utanificha uso wako mpaka lini?+ Zaburi 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+ Kwa nini uko mbali usiweze kuniokoa,Mbali na vilio vyangu vya maumivu makali?+ Yeremia 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee tumaini la Israeli, Mwokozi wake+ wakati wa taabu,Kwa nini wewe ni kama mgeni nchini,Kama msafiri alalaye usiku mmoja tu?
22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+ Kwa nini uko mbali usiweze kuniokoa,Mbali na vilio vyangu vya maumivu makali?+
8 Ee tumaini la Israeli, Mwokozi wake+ wakati wa taabu,Kwa nini wewe ni kama mgeni nchini,Kama msafiri alalaye usiku mmoja tu?