Ayubu 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa nini unauficha uso wako+Na kuniona kuwa adui yako?+ Zaburi 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naam, ninasumbuka* sana,+Nami nakuuliza, Ee Yehova—nitasumbuka mpaka lini?+ Zaburi 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mungu wangu, ninaendelea kukuita wakati wa mchana, nawe hunijibu;+Na wakati wa usiku sinyamazi.