38 Ndipo akawaambia: “Nimehuzunika sana, kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mwendelee kukesha pamoja nami.”+ 39 Akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali:+ “Baba yangu, ikiwa inawezekana, niondolee kikombe hiki.+ Lakini, si kama ninavyopenda, bali kama unavyopenda.”+