Zaburi 13:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ee Yehova, utanisahau mpaka lini? Milele? Utanificha uso wako mpaka lini?+ 2 Nitahangaika kwa wasiwasi mpaka lini,Nikiwa na huzuni moyoni mwangu kila siku? Adui yangu atanishinda mpaka lini?+
13 Ee Yehova, utanisahau mpaka lini? Milele? Utanificha uso wako mpaka lini?+ 2 Nitahangaika kwa wasiwasi mpaka lini,Nikiwa na huzuni moyoni mwangu kila siku? Adui yangu atanishinda mpaka lini?+