Isaya 45:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova anasema hivi: “Faida ya* Misri na bidhaa za* Ethiopia na Wasabea, watu warefu,Watakuja kwako na kuwa wako. Watatembea nyuma yako wakiwa na minyororo. Watakuja na kukuinamia.+ Watasali kwako wakisema, ‘Kwa hakika Mungu yuko pamoja nawe,+Na hakuna mwingine yeyote; hakuna Mungu mwingine.’” Isaya 60:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakati huo utaona na kung’aa,+Na moyo wako utadundadunda na kufurika,Kwa sababu utajiri wa bahari utaelekezwa kwako;Mali za mataifa zitakuja kwako.+
14 Yehova anasema hivi: “Faida ya* Misri na bidhaa za* Ethiopia na Wasabea, watu warefu,Watakuja kwako na kuwa wako. Watatembea nyuma yako wakiwa na minyororo. Watakuja na kukuinamia.+ Watasali kwako wakisema, ‘Kwa hakika Mungu yuko pamoja nawe,+Na hakuna mwingine yeyote; hakuna Mungu mwingine.’”
5 Wakati huo utaona na kung’aa,+Na moyo wako utadundadunda na kufurika,Kwa sababu utajiri wa bahari utaelekezwa kwako;Mali za mataifa zitakuja kwako.+