Isaya 50:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Niliwapa mgongo wangu wale waliokuwa wakinipigaNa mashavu yangu wale waliozing’oa ndevu zangu. Sikuuficha uso wangu kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na kutoka kwa mate.+ Mathayo 26:67 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 Kisha wakamtemea mate usoni+ na kumpiga ngumi.+ Wengine wakampiga makofi usoni,+ Mathayo 27:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 kisha wakasokota taji la miiba na kumvisha kichwani na kutia utete kwenye mkono wake wa kuume. Wakampigia magoti, wakamdhihaki wakisema: “Salamu,* ewe Mfalme wa Wayahudi!”
6 Niliwapa mgongo wangu wale waliokuwa wakinipigaNa mashavu yangu wale waliozing’oa ndevu zangu. Sikuuficha uso wangu kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na kutoka kwa mate.+
29 kisha wakasokota taji la miiba na kumvisha kichwani na kutia utete kwenye mkono wake wa kuume. Wakampigia magoti, wakamdhihaki wakisema: “Salamu,* ewe Mfalme wa Wayahudi!”