Zaburi 73:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mwili wangu na moyo wangu unaweza kudhoofika,Lakini Mungu ni mwamba wa moyo wangu na fungu langu milele.+ Mhubiri 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 siku ambayo walinzi* wa nyumba wanatetemeka,* na wanaume wenye nguvu wanainama, na wanawake wanaacha kusaga kwa sababu wamekuwa wachache, na mabibi wanaochungulia madirishani wanaona giza;+
26 Mwili wangu na moyo wangu unaweza kudhoofika,Lakini Mungu ni mwamba wa moyo wangu na fungu langu milele.+
3 siku ambayo walinzi* wa nyumba wanatetemeka,* na wanaume wenye nguvu wanainama, na wanawake wanaacha kusaga kwa sababu wamekuwa wachache, na mabibi wanaochungulia madirishani wanaona giza;+